Katika hali ya kawaida, Wanaume Halisi ni mojawapo ya makundi tata sana katika ukanda wa muziki wa kizazi kipya. Hii inadhihirishwa na ukweli kwamba kiongozi mkuu wa kundi hilo Juma Nature ni nyota pekee isiyofifia katika sura nzima ya muziki Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Akiongea nyumbani kwake, Juma Nature alikuwa na haya ya kusema "Mimi sina mengi ila kaeni chonjo kwa ujio wa kiutu uzima"
kwa habari zaidi endelea kutembelea hapa.
No comments:
Post a Comment